 |
| Aritz Aduriz |
Michuano ya Ligi ya Europa iliendelea usiku wa kuamkia leo kwa michezo kadhaa kupigwa, Manchester United imekubali kichapo cha 2-1 kutoka kwa wenyeji wao Fenerbahçe ambapo meneja wa timu hiyo Jose Mourinho amesema timu yake ilicheza kama watalii, Athletic Bilbao ya Uhispania ikaichakaza KRC Genk ya Ubelgiji kwa bao 5-3 magoli yote ya Bilbao yakiwekwa kimiani na mshambuliaji Aritz Aduriz.
 |
| Manchester United wameshinda michezo miwili tu kati ya saba ya michuano yote |
Matokeo ya michezo mingine
Zorya Luhansk 1-1 Feyenoord
FC Astana 1-1 Olympiakos
Apoel Nic 1-0 BSC Young Boys
FK Qabala 1-2 Saint-Étienne
Anderlecht 6-1 FSV Mainz 05
Maccabi Tel-Aviv 0-0 AZ Alkmaar Full time
Zenit St P 2-1 Dundalk
Astra Giurgiu 1-1 Viktoria Plzen
Austria Vienna 2-4 Roma
Sassuolo 2-2 Rapid Vienn
Title :
Europa: Man U yachapwa ugenini
Description : Aritz Aduriz Michuano ya Ligi ya Europa iliendelea usiku wa kuamkia leo kwa michezo kadhaa kupigwa, Manchester United imekubali kichapo...
Rating :
5